25 Kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu,+ kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi+ za Israeli mpaka hesabu+ kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia,+
25 Sasa kwa yeye+ anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu+ ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale