Hosea 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wakaanza kurudi, lakini hawakurudi kwenye ibada ya kweli;+ walikuwa wamekuwa kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya shutuma za ulimi wao.+ Hiyo itakuwa ni dhihaka yao katika nchi ya Misri.”+ Hosea 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+
16 Nao wakaanza kurudi, lakini hawakurudi kwenye ibada ya kweli;+ walikuwa wamekuwa kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya shutuma za ulimi wao.+ Hiyo itakuwa ni dhihaka yao katika nchi ya Misri.”+
3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+