Ezekieli 36:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wakaingia kwa mataifa ambamo waliingia, na watu wakatia unajisi jina langu takatifu+ kwa kusema hivi juu yao, ‘Hawa ndio watu wa Yehova, nao wametoka katika nchi yake.’+ Hosea 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+
20 Kwa hiyo wakaingia kwa mataifa ambamo waliingia, na watu wakatia unajisi jina langu takatifu+ kwa kusema hivi juu yao, ‘Hawa ndio watu wa Yehova, nao wametoka katika nchi yake.’+
3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+