Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Nanyi mtazishika sheria+ zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu+ na kuzifanya, ili nchi nitakayowaingiza mkae ndani yake isije ikawatapika ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+

  • Yoshua 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na itatukia kwamba, kama vile neno lote jema ambalo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi limewafikia ninyi,+ vivyo hivyo Yehova ataleta juu yenu neno lote ovu mpaka atakapokuwa amewaangamiza ninyi kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi,+

  • 1 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mimi pia nitawakatilia mbali Israeli kutoka juu ya uso wa nchi ambayo nimewapa;+ na ile nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupa kutoka mbele zangu,+ na Israeli hakika watakuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki