28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+
36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+
13 Nami nitawatupa ninyi nje ya nchi+ hii mpaka ndani ya nchi ambayo hamkuijua ninyi,+ wala baba zenu, na humo mtaitumikia miungu mingine+ mchana na usiku, kwa sababu mimi sitawapa kibali chochote.”’