9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+
20 Lakini wale wanadamu wengine ambao hawakuuawa kwa yale mapigo hawakutubu matendo ya mikono yao,+ ili kwamba wasiabudu roho waovu+ na sanamu za dhahabu na fedha+ na shaba na mawe na miti, ambazo haziwezi kuona wala kusikia wala kutembea;+