Kumbukumbu la Torati 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu. Zaburi 106:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nao wakawa wakiwatoa dhabihu wana wao+Na binti zao kwa roho waovu.+ 1 Wakorintho 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+
17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.
20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+