Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+

  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • 2 Wafalme 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo watu wote, kuanzia mdogo mpaka mkubwa, na wakuu wa majeshi wakaondoka, wakaingia Misri;+ kwa maana waliogopa kwa sababu ya Wakaldayo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda+ kuja kumshambulia ili amfunge kwa pingu mbili za shaba apate kumchukua mpaka Babiloni.+

  • Isaya 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme+ katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+

  • Yeremia 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova amesema hivi kumhusu Shalumu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda anayetawala badala ya Yosia baba yake,+ ambaye ameondoka mahali hapa, ‘Hatarudi hapo tena.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki