49 Naye Danieli akatoa ombi kwa mfalme, naye akaweka Shadraki, Meshaki na Abednego+ juu ya usimamizi wa wilaya ya utawala ya Babiloni, lakini Danieli akawa katika makao ya mfalme.+
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+