2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme+ walikuwa wanainama na kumsujudia Hamani, kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri hiyo kumhusu. Lakini Mordekai hakuinama wala kusujudu.+
3 Na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakaingia na kuketi katika Lango la Kati,+ yaani, Nergal-shareza, Samgar-nebo, Sarsekimu, Rabsarisi, Nergal-shareza yule Rabmagi na wakuu wengine wote wa mfalme wa Babiloni.
15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+