Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi mabikira+ walipokusanywa pamoja mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.+

  • Esta 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme+ walikuwa wanainama na kumsujudia Hamani, kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri hiyo kumhusu. Lakini Mordekai hakuinama wala kusujudu.+

  • Yeremia 39:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakaingia na kuketi katika Lango la Kati,+ yaani, Nergal-shareza, Samgar-nebo, Sarsekimu, Rabsarisi, Nergal-shareza yule Rabmagi na wakuu wengine wote wa mfalme wa Babiloni.

  • Amosi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki