2 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+ Amosi 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na haki itiririke kama maji,+ na uadilifu kama mto unaotiririka daima.+
6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+