7 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa sauti kubwa kwa kushangilia, na kupaaza kelele mbele ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo.+ Sifuni na kusema, ‘Waokoe, Ee Yehova, watu wako, mabaki ya Israeli.’+
6 Nami nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu, nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nami nitawapa makao, kwa maana nitawaonyesha rehema;+ nao watakuwa kama watu ambao sikutupilia mbali;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.+