Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

      Naye atawalipa kisasi adui zake+

      Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

  • Zaburi 96:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa,+

      Kazi zake za ajabu kati ya vikundi vyote vya watu.+

  • Isaya 44:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Pigeni vigelegele kwa shangwe, ninyi mbingu,+ kwa maana Yehova amechukua hatua!+ Pigeni kelele za ushindi,+ ninyi sehemu za chini kabisa za dunia!+ Changamkeni, ninyi milima,+ kwa vigelegele vya shangwe, Ee msitu nanyi miti yote mlio ndani yake! Kwa maana Yehova amemkomboa Yakobo, naye anaonyesha uzuri wake juu ya Israeli.”+

  • Waroma 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye anasema tena: “Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki