-
Isaya 14:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+
-
-
Danieli 5:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Mfalme akaita kwa sauti kubwa akasema waletwe ndani wafanya-mazingaombwe, Wakaldayo na wanajimu.+ Mfalme akawaambia watu wenye hekima wa Babiloni: “Mtu yeyote atakayesoma maandishi haya na kunionyesha tafsiri yake kamili, atavikwa mavazi ya zambarau,+ pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+
-