Ezra 2:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 zaidi ya hao watumwa wao na vijakazi wao, ambao walikuwa 7,337; nao walikuwa na waimbaji+ 200, wa kiume na wa kike. Isaya 60:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Makundi yote ya Kedari+—yatakusanywa pamoja kwako. Kondoo-dume wa Nebayothi+—watakuhudumia.+ Wakiwa na kibali watakuja juu ya madhabahu yangu,+ nami nitairembesha nyumba yangu ya urembo.+ Isaya 61:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na wageni kwa kweli watasimama na kuchunga makundi yenu,+ na watu wa nchi nyingine+ watakuwa wakulima wenu na watunza-mizabibu wenu.+ Zekaria 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+
65 zaidi ya hao watumwa wao na vijakazi wao, ambao walikuwa 7,337; nao walikuwa na waimbaji+ 200, wa kiume na wa kike.
7 Makundi yote ya Kedari+—yatakusanywa pamoja kwako. Kondoo-dume wa Nebayothi+—watakuhudumia.+ Wakiwa na kibali watakuja juu ya madhabahu yangu,+ nami nitairembesha nyumba yangu ya urembo.+
5 “Na wageni kwa kweli watasimama na kuchunga makundi yenu,+ na watu wa nchi nyingine+ watakuwa wakulima wenu na watunza-mizabibu wenu.+
9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+