25 Na Yeremia+ akaanza kumwimbia Yosia wimbo wa maombolezo;+ na waimbaji wote wanaume na waimbaji wanawake+ huendelea kusema juu ya Yosia katika nyimbo zao za huzuni mpaka leo hii; nao wameziweka kuwa sharti juu ya Israeli, nazo tazama, zimeandikwa kati ya nyimbo za maombolezo.+