Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Miriamu akawa akiwaitikia wanaume:+

      “Mwimbieni Yehova,+ kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.”+

  • 1 Samweli 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia, wakati Daudi aliporudi kutoka katika kuwapiga Wafilisti, wanawake wakaanza kutoka katika majiji yote ya Israeli wakiimba+ na kucheza dansi ili kumpokea Sauli, mfalme, wakiwa na matari,+ kwa kushangilia+ na wakiwa na udi.

  • 2 Samweli 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mimi leo nina umri wa miaka 80.+ Je, ninaweza kutambua kati ya jema na baya, au je, mtumishi wako anaweza kuonja ladha ya kile ninachokula na kile ninachokunywa,+ au je, ninaweza kusikiliza+ tena sauti za waimbaji wa kiume na wa kike?+ Kwa nini basi mtumishi wako awe mzigo+ tena kwa bwana wangu mfalme?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki