Kutoka 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+ Kutoka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.”
17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+
11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.”