6 Nilipokuwa nikiwatoa baba zenu kutoka Misri+ nanyi mkaja kwenye ile bahari, ndipo Wamisri walipowafuatilia+ baba zenu wakiwa na magari ya vita na wapanda-farasi mpaka kwenye Bahari Nyekundu.
17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+