Kutoka 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+ Methali 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova amefanya kila kitu kwa kusudi lake,+ naam, hata mwovu kwa ajili ya siku ya uovu.+
17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+