2 Samweli 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mfalme akamwambia Absalomu: “Hapana, mwanangu! Tafadhali usiache sisi sote twende, ili tusiwe mzigo kwako.” Ingawa alizidi kumhimiza,+ hakukubali kwenda, bali akambariki.+ 2 Samweli 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, Daudi akamwambia: “Ukivuka kwenda pamoja nami, hakika utakuwa mzigo kwangu.+
25 Lakini mfalme akamwambia Absalomu: “Hapana, mwanangu! Tafadhali usiache sisi sote twende, ili tusiwe mzigo kwako.” Ingawa alizidi kumhimiza,+ hakukubali kwenda, bali akambariki.+