- 
	                        
            
            2 Samweli 13:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
25 Lakini mfalme akamwambia Absalomu: “La, mwanangu. Tukienda sisi sote, tutakuwa mzigo kwako.” Ingawa aliendelea kumsihi, mfalme hakukubali kwenda, lakini alimbariki.
 
 -