Yeremia 31:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Wakati huo bikira atashangilia kwa dansi, pia vijana na wanaume wazee, wote pamoja.+ Nami nitayageuza maombolezo yao yawe furaha, nami nitawafariji na kuwafanya washangilie kutoka katika huzuni yao.+
13 “Wakati huo bikira atashangilia kwa dansi, pia vijana na wanaume wazee, wote pamoja.+ Nami nitayageuza maombolezo yao yawe furaha, nami nitawafariji na kuwafanya washangilie kutoka katika huzuni yao.+