12 Na wengi kati ya makuhani+ na Walawi na vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ wazee ambao walikuwa wameona ile nyumba ya kwanza,+ walikuwa wakilia+ kwa sauti kubwa wakati wa kuwekwa msingi+ wa nyumba hii mbele ya macho yao, huku wengine wengi wakipaaza sauti kwa shangwe.+