Zekaria 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Wanaume wazee na wanawake wazee wataketi tena katika viwanja vya jiji la Yerusalemu, kila mmoja wao akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake mkubwa.*+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:4 w96 1/1 11, 16 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:4 Mnara wa Mlinzi,1/1/1996, kur. 11-16
4 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Wanaume wazee na wanawake wazee wataketi tena katika viwanja vya jiji la Yerusalemu, kila mmoja wao akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake mkubwa.*+