43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+
10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+