Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+

  • Zaburi 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+

      Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+

  • Zaburi 126:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+

      Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki