19 Wakati watu walio katika Sayuni+ watakapokaa katika Yerusalemu,+ wewe hutalia kwa vyovyote.+ Yeye hakika atakuonyesha kibali unapotoa sauti ya kilio chako; mara tu atakapokisikia kwa kweli atakujibu.+
19 Nami nitashangilia katika Yerusalemu na kufurahi katika watu wangu;+ na ndani yake haitasikika tena sauti ya kulia wala sauti ya kilio cha huzuni.”+