22 Naye akaifunika nyumba yote kwa dhahabu,+ mpaka nyumba yote ilipokamilika; na madhabahu+ yote iliyokuwa upande wa kile chumba cha ndani kabisa akaifunika kwa dhahabu.+
3 ‘Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa zamani?+ Nanyi mnaionaje sasa? Kwa kulinganisha, je, hii haionekani machoni penu kuwa kama si kitu?’+