Zekaria 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ni nani ameidharau siku ya mambo madogo?+ Nao watafurahi+ na kuona timazi mkononi mwa Zerubabeli. Haya saba ndiyo macho ya Yehova.+ Yanaenda huku na huku duniani kote.”+
10 Kwa maana ni nani ameidharau siku ya mambo madogo?+ Nao watafurahi+ na kuona timazi mkononi mwa Zerubabeli. Haya saba ndiyo macho ya Yehova.+ Yanaenda huku na huku duniani kote.”+