6Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+
12 Na wengi kati ya makuhani+ na Walawi na vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ wazee ambao walikuwa wameona ile nyumba ya kwanza,+ walikuwa wakilia+ kwa sauti kubwa wakati wa kuwekwa msingi+ wa nyumba hii mbele ya macho yao, huku wengine wengi wakipaaza sauti kwa shangwe.+