Hesabu 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisima, wakuu walikichimba. Watu wenye vyeo kati ya watu walikichimba,Kwa fimbo ya kiongozi,+ kwa fimbo zao wenyewe.” Kisha kutoka nyikani mpaka Matana. Waebrania 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+
18 Kisima, wakuu walikichimba. Watu wenye vyeo kati ya watu walikichimba,Kwa fimbo ya kiongozi,+ kwa fimbo zao wenyewe.” Kisha kutoka nyikani mpaka Matana.
21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+