29 Mwishowe siku za Israeli kufa zikakaribia.+ Basi akamwita mwana wake Yosefu, akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu,+ nawe unionyeshe fadhili zenye upendo na kweli.+ (Tafadhali, usinizike Misri.)+