Mwanzo 49:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi Yakobo akamaliza kuwapa wanawe amri. Kisha akaiweka miguu yake pamoja juu ya kitanda, akakata pumzi, akakusanywa kwa watu wake.+ Waebrania 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+
33 Basi Yakobo akamaliza kuwapa wanawe amri. Kisha akaiweka miguu yake pamoja juu ya kitanda, akakata pumzi, akakusanywa kwa watu wake.+
21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+