Mwanzo 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+ Zaburi 116:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ni chenye thamani machoni pa YehovaKifo cha washikamanifu wake.+ Mathayo 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai.”+ Matendo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yakobo akashuka kuingia Misri.+ Naye akafa;+ na pia mababu zetu,+
8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+
32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai.”+