29 Ndipo Yosefu akatayarisha gari lake, akaenda kumpokea baba yake Israeli huko Gosheni.+ Alipomtokea, akamwangukia shingoni mara moja, akalia shingoni pake tena na tena.+
5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+