13 Kwa hiyo wanawe wakampeleka mpaka nchi ya Kanaani na kumzika katika pango la shamba la Makpela, shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa Efroni Mhiti mbele ya Mamre+ ili awe na mahali pa kuzikia.
16 nao wakahamishwa mpaka Shekemu+ na kulazwa katika kaburi+ ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa bei fulani kwa fedha kutoka kwa wana wa Hamori katika Shekemu.+