Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+

  • Mwanzo 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+

  • Mwanzo 47:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mwishowe siku za Israeli kufa zikakaribia.+ Basi akamwita mwana wake Yosefu, akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu,+ nawe unionyeshe fadhili zenye upendo na kweli.+ (Tafadhali, usinizike Misri.)+

  • Mwanzo 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo wanawe wakampeleka mpaka nchi ya Kanaani na kumzika katika pango la shamba la Makpela, shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa Efroni Mhiti mbele ya Mamre+ ili awe na mahali pa kuzikia.

  • Kutoka 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+

  • Zaburi 105:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+

      Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki