Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ Kutoka 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na kila mwanamke atamwomba jirani yake na mwanamke mgeni aliye katika nyumba yake, vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda, nanyi mtawatwika wana wenu na binti zenu; nanyi mtawaacha Wamisri bila chochote.”+ Kutoka 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+
22 Na kila mwanamke atamwomba jirani yake na mwanamke mgeni aliye katika nyumba yake, vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda, nanyi mtawatwika wana wenu na binti zenu; nanyi mtawaacha Wamisri bila chochote.”+
35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+