Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ Kutoka 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye Yehova akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri,+ hivi kwamba hao wakawapa walichoomba;+ nao wakawaacha Wamisri bila chochote.+ Zaburi 105:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.
36 Naye Yehova akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri,+ hivi kwamba hao wakawapa walichoomba;+ nao wakawaacha Wamisri bila chochote.+
37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.