Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ Kutoka 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitawapa watu hawa kibali machoni pa Wamisri; na hakika itakuwa kwamba mtakapoenda, hamtaenda mikono mitupu.+ Kutoka 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa, sema masikioni mwa watu, kwamba kila mwanamume na amwombe mwenzake na kila mwanamke na amwombe mwenzake vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu.”+ Zaburi 105:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.
21 Nami nitawapa watu hawa kibali machoni pa Wamisri; na hakika itakuwa kwamba mtakapoenda, hamtaenda mikono mitupu.+
2 Sasa, sema masikioni mwa watu, kwamba kila mwanamume na amwombe mwenzake na kila mwanamke na amwombe mwenzake vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu.”+
37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.