Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo shamba la Efroni lililokuwa Makpela, iliyo mbele ya Mamre, lile shamba na lile pango lililokuwamo na miti yote iliyokuwa shambani,+ iliyokuwa ndani ya mipaka yake yote kuzunguka, ikathibitishiwa+

  • Mwanzo 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela katika shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti lililoko mbele ya Mamre,+

  • Mwanzo 35:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+

  • Mwanzo 49:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 katika pango lililo katika shamba la Makpela mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa Efroni Mhiti awe na mahali pa kuzikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki