17 Kwa hiyo shamba la Efroni lililokuwa Makpela, iliyo mbele ya Mamre, lile shamba na lile pango lililokuwamo na miti yote iliyokuwa shambani,+ iliyokuwa ndani ya mipaka yake yote kuzunguka, ikathibitishiwa+
27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+
30 katika pango lililo katika shamba la Makpela mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa Efroni Mhiti awe na mahali pa kuzikia.+