15 Nami nikapongeza kushangilia,+ kwa sababu wanadamu hawana jambo bora chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia, na kwamba hilo liambatane nao katika kazi yao ngumu muda wa siku za maisha yao,+ ambazo Mungu wa kweli amewapa chini ya jua.+
5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+