Zaburi 100:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia.+Njooni mbele zake kwa vigelegele vya shangwe.+ Mhubiri 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nimekuja kujua kwamba hakuna jambo lingine bora kwao kuliko mtu kufurahi na kufanya mema maishani mwake;+ Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu. Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+
12 Nimekuja kujua kwamba hakuna jambo lingine bora kwao kuliko mtu kufurahi na kufanya mema maishani mwake;+
12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.