Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 100:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia.+

      Njooni mbele zake kwa vigelegele vya shangwe.+

  • Mhubiri 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nimekuja kujua kwamba hakuna jambo lingine bora kwao kuliko mtu kufurahi na kufanya mema maishani mwake;+

  • Mathayo 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.

  • Wafilipi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki