Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+

  • Nehemia 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akaendelea kuwaambia: “Nendeni, mle vitu vinono na kunywa vitu vitamu, nanyi mkampelekee mafungu+ ya vitu yule ambaye hakutayarishiwa kitu; kwa maana leo ni siku takatifu kwa Bwana wetu, wala msiwe na uchungu, kwa maana shangwe ya Yehova ndiyo ngome yenu.”

  • Wafilipi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki