Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana ile sehemu ya kumi ya wana wa Israeli, ambayo watamchangia Yehova kuwa mchango, nimewapa Walawi kuwa urithi. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye Mlawi,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba na mjane,+ walio ndani ya malango yako, watakuja, nao watakula na kujishibisha; ili Yehova Mungu wako apate kukubariki+ katika kila tendo+ la mkono wako ambalo utafanya.

  • Yoshua 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kabila la Walawi peke yake ndilo ambalo hakulipatia urithi.+ Matoleo ya Yehova Mungu wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto+ ndiyo urithi wao,+ kama vile ambavyo amewaahidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki