Mambo ya Walawi 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kati ya wana wa Haruni, yule atakayeitoa damu ya dhabihu ya ushirika na yale mafuta, ule mguu wa kuume utakuwa fungu lake.+ 1 Wakorintho 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?
33 Kati ya wana wa Haruni, yule atakayeitoa damu ya dhabihu ya ushirika na yale mafuta, ule mguu wa kuume utakuwa fungu lake.+
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?