35 “‘Hili ndilo lililokuwa fungu la kuhani la Haruni na fungu la kuhani la wanawe kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, katika siku ambayo aliwatoa+ watumikie wakiwa makuhani kwa Yehova,
18“Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+