Hesabu 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana ile sehemu ya kumi ya wana wa Israeli, ambayo watamchangia Yehova kuwa mchango, nimewapa Walawi kuwa urithi. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.’”+ Kumbukumbu la Torati 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+ Yoshua 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Musa hakuwapa urithi kabila la Walawi.+ Yehova Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama vile ambavyo amewaahidi.+
24 Kwa maana ile sehemu ya kumi ya wana wa Israeli, ambayo watamchangia Yehova kuwa mchango, nimewapa Walawi kuwa urithi. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.’”+
9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+
33 Lakini Musa hakuwapa urithi kabila la Walawi.+ Yehova Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama vile ambavyo amewaahidi.+