Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana ile sehemu ya kumi ya wana wa Israeli, ambayo watamchangia Yehova kuwa mchango, nimewapa Walawi kuwa urithi. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.’”+

  • Hesabu 26:62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Nao walioandikishwa kati yao wakawa 23,000, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi.+ Kwa maana hawakuandikishwa katikati ya wana wa Israeli,+ kwa sababu hawakupaswa kupewa urithi wowote katikati ya wana wa Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+

  • Yoshua 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Musa alikuwa ametoa urithi wa yale makabila mawili na wa ile nusu ya kabila ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+ naye hakuwapa Walawi urithi katikati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki