Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Yehova akazidi kumwambia Haruni: “Mimi nami, tazama! nimekupa wewe utunzaji wa michango inayotolewa kwa ajili yangu.+ Vitu vyote vitakatifu vya wana wa Israeli nimekupa wewe na wana wako viwe fungu, viwe posho mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yoshua 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kabila la Walawi peke yake ndilo ambalo hakulipatia urithi.+ Matoleo ya Yehova Mungu wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto+ ndiyo urithi wao,+ kama vile ambavyo amewaahidi.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki